Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, "Hawqala" au dhikri tukufu “Laa hawla wa laa quwwata illa billaah” ni miongoni mwa adhkari zilizosisitizwa na kuhimizwa sana na Ayatollah Bahjat Allah alitukuze daraja lake.
Yeye alikuwa akisisitiza umuhimu wa kudumu katika kuikariri dhikri hii kwa ajili ya kutibu majivuno na riaa.
Maoni yako